Friday, October 19, 2012

Kizee na muoka mikate


Kisa cha Kizee na Muoka mikate

Kizee, baada ya salatul Ishaa akajikusanya akitaraji kupata rukhsa kulala pale msikitini, kwani yeye si mwenyeji wa huo mji...anapitia tu. Bahati mbaya mchunga msikiti akamkatalia kizee huyo kulala ndani. 

Kizee akabembeleza bila mafanikio, akatoka nje na kuandaa matandiko alale pale nje tu ya msikiti, lakini haikutosha kwa yule mchunga msikiti, bado akamfukuza hat
a hapo...tena kwa kumburuza.

Pembeni kukawa na duka la muoka mikate, alipoona hivyo akamhurumia kizee yule na kumkaribisha ndani kumpatia hifadhi usiku huo. Ndani ya duka kizee yule kabla kupitiwa usingizi akaona mwenyeji wake (muoka mikate) akifanya istighfar kwa wingi sana...kipindi chote, huku akiendelea na shughuli zake. Kizee akamuuliza kama ameona nini faida/matokeo kutokana na tabia yake hiyo ya kufanya istighfar wakati wote mara nyingi hivyo? Muoka mikate akamjibu kuwa KILA jambo aliloomba kwa Allah limejibiwa (kukubaliwa) isipokuwa tu jambo moja. Kizee akamuuliza, ni jambo lipi ambalo haukujibiwa? Muoka mikate akasema nimemuomba Allah muda mrefu aniwezeshe kukutana na Mwanazuoni mkubwa maarufu, Imam Ahmad Ibn Hanbal.

Na hapo ndipo kizee akajitambulisha kwa kusema si tu kuwa Allah amekusikia dua yako bali pia ameniburuza mpaka mlangoni kwako.

Imam Ahmad pamoja na umaarufu wa jina na sifa nyingi si wengi walimjua kwa sura walioishi miji ya mbali naye. Na hakupenda makuu, hakutaka kujitambulisha alipofika hapo mjini ambapo hakumjua mtu yeyote kwani angefanya hivyo kila mtu angetaka kumkaribisha nyumbani kwake.



Sunday, May 6, 2012

Wird Al Imam An Nawawi



Sheikh al-Buti said:
It has reached me that there are people who doubt, or raise doubts regarding the ascription of this litany (hizb) to Imam al-Nawawi without reliance upon any research or verification of the matter.
Here I present before those and their likes the continuous chain for the receiving of this noble litany, reaching to its author Imam al-Nawawi, Allah the most High haver mercy on him and be pleased with him.  Imam Umar al-Shabrawi said in the introduction of his commentary on this litany:
"I received it from our Sheikh, Allamah Muhammad al-Sibaiee, and he from his father Allamah al-Sayyid Salih al-Sibaiee, and he from Allamah al-Sheikh al-Dardir, and he from his teacher Sheikh al-Hifni, and he from his teacher Sheikh Mustafa al-Bakri, and he from Sheikh Muhammad bin Ahmad al-Dimyati al-Shafi better known as Ibn al-Mayit al-Budairi, and he from Sheikh al-Shibramallasi, and he from Sheikh Allamah Abd al-Rahim al-Iraqi, from Sheikh Ala al-Din Ibn al-Attar, and he from the Qutb: Yahya al-Nawawi- Allah be pleased with him."
 



Bismillah
Allahu akbar, Allahu akbar, Allahu akbar.
Aqulu ala’ nafsi wa ala’ deeni wa ala’ ahli wa ala’ awladi wa ala’ maali wa ala as-habi wa ala adyanihim wa ala’ amwalihim, alfa bismillah.
Allahu akbar, Allahu akbar, Allahu akbar.
Aqulu ala’ nafsi wa ala’ deeni wa ala’ ahli wa ala’ awladi wa ala’ maali wa ala as-habi wa ala adyanihim wa ala’ amwalihim, alfa alfi bismillah.
Allahu akbar, Allahu akbar, Allahu akbar.
Aqulu ala’ nafsi wa ala’ deeni wa ala’ ahli wa ala’ awladi wa ala’ maali wa ala as-habi wa ala adyanihim wa ala’ amwalihim, alfa alfi la howla wa la quwata illa billah’hil aliyul-adhim.
Bismillahi wa-billahi wa min Allahi wa li-Llahi wa ala’Llahi wa fi-Llahi wa la howla wa la quwata illa billah’hil aliyul-adhim.
Bismillahi ala’ deeni wa ala’ nafsi wa ala’ awladi, bismillahi ala’ maali wa ala’ ahli, bismillahi ala’ kulli shay’in, a’tanihi rabbi, bismillahi rabbi as-samawati sab’i wa rabbi aradina sab’i wa rabbi arshi-l adhim.
Bismillahi ladhi la ya’duru ma’ asmihi shayun fi’l ardi wa la fis-sama’i wa huwa-samiyul alim (x3)
Bismillahi khayri asma’i fi’l ardi wa fi sama’i.
Bismillahi aftatihu wabihi akthtatim.
Allah, Allah, Allah.
Allahu Rabbi la yushriku-bihi shay’a.
Allah, Allah, Allah.
Allahu rabbi la illaha ilaLlah.
Allahu ‘azwajal wa akbaru, mima akhafu wa-adhar.
Bika allahumma a’udhu min shari nafsi, wa min shari ghayri, wa min shari ma khalaqa rabihi wadhara’awabara.
Wa bika Allahumma ahtarizu mimhum.
Wa bika Allahumma a’udhu min shururihim.
Wa bika Allahumma adra’u fi nuhurihim wa uqadimu bayna yadaya wa-aydihim.
Surah al-ikhlas [including the Basmallah in each] (x3)
Wa mithlu thalika ‘ain yamini wa ‘ain aymanihim, wa mithlu thalika ‘ain shimalihi wa ‘ain shamailihim, wa mithlu thalika ‘ain amami wa amamihim, wa mithlu thalika min khalfi wa min khalfihim, wa mithlu thalika min fawqi wa min fawqihim, wa mithlu thalika min tahti wa min tahtihim, wa mithlu thalika muhyitun bihi wa bihim.
Allahumma inni as-aluka li walahum min khayrika bikhayrika-ladhi la yamlikuhu ghayruk.
Allahumma aj’alni wa ‘iyahum fi ‘ibadika wa ‘iyadhika wa jiwarika wa amanika wa hizbika wa hirzika wa kanafika, min sharri kulli shaytan, min sharri kulli shaytanin wa sultanin wa insin wa jaanin wa baghin wa hasidin wa sab’in wa hayatihi wa ‘aqraba, wa min sharri kulli daabatin anta akhidun binasiyatiha inna rabbi ‘ala siratil mustaqim.
Hasbi r-Rabbu min al-marbubeen,
Hasbi al-Khaliqu min al-makhluqeen,
Hasbi ar-Raziqu min al-marzuqeen,
Hasbi as-Saatiru min al-mastureen,
Hasbi an-Nasiru min al-mansureen,
Hasbi al-Qahirun min al-maqhureen,
Hasbi alathi huwa hasbi,
Hasbi ya man lam yazal hasbi,
Hasbi Allahu wa n’imal-wakeel,
Hasbi Allahu min jamee’i khalqi.
Inna waliyyiya Allahu allathee nazzala alkitaba wahuwa yatawalla alssaliheena
Wa ‘Idhā Qara’ta Al-Qur’āna Ja`alnā Baynaka Wa Bayna Al-Ladhīna Lā Yu’uminūna Bil-’Ākhirati Ĥijābāan Mastūrāa
Wa Ja`alnā `Alá Qulūbihim ‘Akinnatan ‘An Yafqahūhu Wa Fī ‘Ādhānihim Waqrāan Wa ‘Idhā
Fa in tawallaw faqul hasbiya Allahu la ilaha illa huwa AAalayhi tawakkaltu wahuwa rabbu alAAarshi alAAatheem (x 7)
Wa la howla wa la quwata illa billah’hil aliyul-adhim (x3)
Wa sal Allahu ala’ sayyidina Muhammadin wa ala’ ahlihi wa sahbihi wa salim.
Khaba’tu nafsi fi khaza’ini bismillah, aqfaluha thikati biLlah, mafatihuha la quwata illa billah, u’dafeehu bika allahumma ‘an nafsi ma uteequ wa ma la uteeq, la taqata li makhluqeen ma’ qudratil-khaliq.
Hasbi Allahu wa n’imal-wakeel.
Wa la howla wa la quwata illa billah’hil aliyul-adhim.
Wa sal Allahu ala’ sayyidina Muhammadin wa ala’ ahlihi wa sahbihi wa salim.
Hasbi Allahu wa n’imal-wakeel.
Wa la howla wa la quwata illa billah’hil aliyul-adhim.
Wa sal Allahu ala’ sayyidina Muhammadin wa ala’ ahlihi wa sahbihi wa salim.
Hasbi Allahu wa n’imal-wakeel.
Wa la howla wa la quwata illa billah’hil aliyul-adhim.
Wa sal Allahu ala’ sayyidina Muhammadin wa ala’ ahlihi wa sahbihi wa salim.
-END-


 Translation

In the Name of Allah the Most Merciful the Most Compassionate


‘In the name of Allah. Allah is most great, Allah is most great, Allah is most great’ I say upon myself, upon my religion, upon my family, upon my children, upon my property, upon my companions, upon their religion, and upon their property.

One-thousand ‘In the name of Allah, Allah is most great, Allah is most great, Allah is most great’, I say upon my religion, upon my family, upon my children, upon my property, upon my companions, upon their religion, and upon their property.

One-thousand thousand ‘In the name of Allah, Allah is most great, Allah is most great, Allah is most great’, I say upon myself, upon my religion, upon my family, upon my children, upon my property, upon my companions, upon their religion, and upon their property.

One-thousand thousand ‘There is no strength nor power except by Allah, the High, the Most Great’, [I say upon myself…].

In the name of Allah, and through Allah, and from Allah, and towards Allah, and upon Allah, and in Allah – there is no strength nor power except by Allah, the High, the Most Great.

‘In the name of Allah’, upon my religion, upon myself, and upon my children.

‘In the name of Allah’, upon my property and upon my family.

‘In the name of Allah’, upon every thing my Lord has given me.

In the name of Allah, Lord of the seven heavens, Lord of the seven earths, and Lord of the mighty throne.

In the name of Allah, with whose name nothing can cause harm in the earth and the sky, and He is the All-hearing and All-knowing. (thrice)

In the name of Allah – the best of all names in the earth and in the sky.

In the name of Allah I commence, and with it I finish.

Allah, Allah, Allah.

Allah is my Lord – I associate no partner unto Him.

Allah, Allah, Allah.

Allah is my Lord: no deity exists other than Him. 

Allah is more powerful, stronger, and greater than what I fear and guard against.

In You, O Allah, I seek refuge from the evil of myself and the evil of others, and the evil my Lord has created, forged, and designed.

In You, O Allah, I seek protection against them.

In You, O Allah, I take refuge from their [various] evils.

And with You, O Allah, I repel their necks.

Between me and them I put:

Say: He is Allah the One! * Allah the eternally Besought of all! * He begetteth not nor was begotten. * And there is none comparable unto Him. [112:1-4] (thrice)

And [I say] the same [the basmallah and sūrat al-ikhlāṣ] to my right and to their right; and the same to my left and to their left; and the same in front of me and in front of them; and the same behind me and behind them; and the same above me and above them; and the same below me and below them; and the same encompassing me and encompassing them.

O Allah, verily I beseech You, for my sake and theirs, for whatever You choose from Your goodness which no one other than You possesses.

O Allah, put me and them in Your divine servitude and protection, in Your protectorship, in what is entrusted unto You, in the midst of Your party, in Your sanctuary and shelter – from every demon, possessor of power, human or jinn, from tyrants and enviers, from predatory beasts and serpents and scorpions, and from every crawling creature under Your control. Verily, my Lord is upon the straight path!

The Lord suffices me from all who are subject to others.

The Creator suffices me from the created.

The Sustainer suffices me from those who are sustained.

The Concealer suffices me from those who are concealed.

The Giver of Victory suffices me from those who are granted victory.

The Vanquisher suffices me from those who are vanquished.

The One who suffices me is my sufficiency.

He who never ceases sufficing me suffices me.

My sufficiency is Allah, and what a great agent is He!

Allah suffices me from [needing] His entire creation.

Verily, Allah is my protector, who sent down the Book, and he looks after the righteous. [7:196]

And when thou recitest the Quran We place between thee and those who believe not in the Hereafter a hidden barrier * And We place upon their hearts veils lest they should understand it and in their ears a deafness; and when thou makest mention of thy Lord alone in the Quran they turn their backs in aversion. [17:45]

Now if they turn away (O Muḥammad) say: Allah sufficeth me. There is no God save Him. In Him have I put my trust and He is Lord of the Tremendous Throne. [9:129] (seven times)

There is no strength nor power except by Allah, the High, the Most Great. (thrice)

And may the prayers of Allah be upon our master Muḥammad and upon his folk and Companions, and may He give them peace.

I conceal myself within the coffers of ‘through the name of Allah’. Its locks are my trust in Allāh. Its keys are ‘there is no power except by Allah’. Through You, O Allah, I protect myself from what lies within my power and what lies without. Created creatures are powerless [when faced] with the ability of the Creator.

My sufficiency is Allah, and what a great agent is He! There is no strength nor power except by Allah, the High, the Most Great. And may the prayers of Allah be upon our master Muḥammad and upon his folk and Companions, and give them peace. (thrice)


Thursday, April 26, 2012

"Watazame watu wote kwa kua ni wabora kuliko wewe, mkubwa wako amekuzidi kwa 3amali njema, na mdogo wako madhambi yake machache kushinda yako. Hata kafiri usimhukumie ubaya, coz hujui mwisho wake utakuaje wala wako utakuaje."

~ Al Ustadh Mbarak Ahmed

Friday, April 13, 2012

Bukhari 2:13


Sahih Al-Bukhari: Kitabu #2, Hadith#13


Narrated 'Aisha:
Whenever Allah's Apostle ordered the Muslims to do something, he used to order them deeds which were easy for them to do, (according to their strength endurance). They said, "O Allah's Apostle! We are not like you. Allah has forgiven your past and future sins." So Allah's Apostle became angry and it was apparent on his face. He said, "I am the most Allah fearing, and know Allah better than all of you do."


حَدَّثَنَا مُحَمَّدُ بْنُ سَلاَمٍ، قَالَ أَخْبَرَنَا عَبْدَةُ، عَنْ هِشَامٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ، قَالَتْ كَانَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم إِذَا أَمَرَهُمْ أَمَرَهُمْ مِنَ الأَعْمَالِ بِمَا يُطِيقُونَ قَالُوا إِنَّا لَسْنَا كَهَيْئَتِكَ يَا رَسُولَ اللَّهِ، إِنَّ اللَّهَ قَدْ غَفَرَ لَكَ مَا تَقَدَّمَ مِنْ ذَنْبِكَ وَمَا تَأَخَّرَ. فَيَغْضَبُ حَتَّى يُعْرَفَ الْغَضَبُ فِي وَجْهِهِ ثُمَّ يَقُولُ " إِنَّ أَتْقَاكُمْ وَأَعْلَمَكُمْ بِاللَّهِ أَنَا ".


Amesimulia 'Aisha (r.a):
Wakati wowote Mtume wa Allah (s.a.w) alipoamrisha Waislam kufanya kitu, alikuwa akiwaamrisha matendo yaliyo rahisi kwao kutenda, (kutokana na nguvu na uwezo wao). Walisema, "Ewe Mtume wa Allah! Hatuko kama wewe (Wakitaka kufanya mambo mazito zaidi). Allah amekusamehe madhambi yako yaliyopita na yajayo." Basi Mtume wa Allah (s.a.w) alikasirika na ilionekana usoni mwake. Alisema, "Mimi ni nimuogopaye Mungu kuliko wote, na namjua Allah kuliko ninyi wote mnavyomjua."

Bukhari 2:12


Sahih Al-Bukhari: Kitabu #2, Hadith #12


Narrated Abu Said Al-Khudri:
Allah's Apostle said, "A time will come that the best property of a Muslim will be sheep which he will take on the top of mountains and the places of rainfall (valleys) so as to flee with his religion from afflictions."


حَدَّثَنَا عَبْدُ اللَّهِ بْنُ مَسْلَمَةَ، عَنْ مَالِكٍ، عَنْ عَبْدِ الرَّحْمَنِ بْنِ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ عَبْدِ الرَّحْمَنِ بْنِ أَبِي صَعْصَعَةَ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ أَبِي سَعِيدٍ الْخُدْرِيِّ، أَنَّهُ قَالَ قَالَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم " يُوشِكُ أَنْ يَكُونَ خَيْرَ مَالِ الْمُسْلِمِ غَنَمٌ يَتْبَعُ بِهَا شَعَفَ الْجِبَالِ وَمَوَاقِعَ الْقَطْرِ، يَفِرُّ بِدِينِهِ مِنَ الْفِتَنِ ".

Amesimulia Abu Said Al-Khudri (r.a):
Mtume wa Allah (s.a.w) amesema, "Utafika wakati ambao mali bora ya Muislam itakuwa ni kondoo ambaye atamchukua kileleni mwa mlima na sehemu za mvua (mabonde) kukimbia fitna kwa dini yake"

Bukhari 2:11


Sahih Al-Bukhari: Kitabu #2, Hadith #11

Narrated 'Ubada bin As-Samit:
who took part in the battle of Badr and was a Naqib (a person heading a group of six persons), on the night of Al-'Aqaba pledge: Allah's Apostle said while a group of his companions were around him, "Swear allegiance to me for:
1. Not to join anything in worship along with Allah.
2. Not to steal.
3. Not to commit illegal sexual intercourse.
4. Not to kill your children.
5. Not to accuse an innocent person (to spread such an accusation among people).
6. Not to be disobedient (when ordered) to do good deed."
The Prophet added: "Whoever among you fulfills his pledge will be rewarded by Allah. And whoever indulges in any one of them (except the ascription of partners to Allah) and gets the punishment in this world, that punishment will be an expiation for that sin. And if one indulges in any of them, and Allah conceals his sin, it is up to Him to forgive or punish him (in the Hereafter)." 'Ubada bin As-Samit added: "So we swore allegiance for these." (points to Allah's Apostle)


حَدَّثَنَا أَبُو الْيَمَانِ، قَالَ أَخْبَرَنَا شُعَيْبٌ، عَنِ الزُّهْرِيِّ، قَالَ أَخْبَرَنِي أَبُو إِدْرِيسَ، عَائِذُ اللَّهِ بْنُ عَبْدِ اللَّهِ أَنَّ عُبَادَةَ بْنَ الصَّامِتِ ـ رضى الله عنه ـ وَكَانَ شَهِدَ بَدْرًا، وَهُوَ أَحَدُ النُّقَبَاءِ لَيْلَةَ الْعَقَبَةِ ـ أَنَّ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم قَالَ وَحَوْلَهُ عِصَابَةٌ مِنْ أَصْحَابِهِ " بَايِعُونِي عَلَى أَنْ لاَ تُشْرِكُوا بِاللَّهِ شَيْئًا، وَلاَ تَسْرِقُوا، وَلاَ تَزْنُوا، وَلاَ تَقْتُلُوا أَوْلاَدَكُمْ، وَلاَ تَأْتُوا بِبُهْتَانٍ تَفْتَرُونَهُ بَيْنَ أَيْدِيكُمْ وَأَرْجُلِكُمْ، وَلاَ تَعْصُوا فِي مَعْرُوفٍ، فَمَنْ وَفَى مِنْكُمْ فَأَجْرُهُ عَلَى اللَّهِ، وَمَنْ أَصَابَ مِنْ ذَلِكَ شَيْئًا فَعُوقِبَ فِي الدُّنْيَا فَهُوَ كَفَّارَةٌ لَهُ، وَمَنْ أَصَابَ مِنْ ذَلِكَ شَيْئًا ثُمَّ سَتَرَهُ اللَّهُ، فَهُوَ إِلَى اللَّهِ إِنْ شَاءَ عَفَا عَنْهُ، وَإِنْ شَاءَ عَاقَبَهُ ". فَبَايَعْنَاهُ عَلَى ذَلِكَ.

Amesimulia 'Ubada bin As-Samit (r.a):
ambaye alishiriki katika vita vya Badr na alikuwa ni Naqib (kamanda wa kikosi cha watu sita), katika usiku wa kiapo cha Al-'Aqaba: Mtume wa Allah (s.a.w) amesema wakati akizungukwa na kundi la maswahaba, "Toeni kiapo kwangu kwa:
1. Kutoshirikisha chochote katika ibada pamoja na Allah.
2. Kutoiba
3. Kutofanya zinaa.
4. Kutoua watoto wenu
5. Kutomshutumu asiye hatia (kusambaza shutuma kwa watu)
6. Kutodharau/tii (mnapoamriwa) kufanya jambo jema"
Nabii (s.a.w) akaongeza: "yeyote miongoni mwenu mwenye kutimiza kiapo chake atalipwa (thawabu) na Allah. Na yeyote mwenye kufanya lolote katika hayo (isipokuwa kumshirikisha Allah) na akaadhibiwa duniani, adhabu hiyo itakuwa ni kama kafara ya dhambi hiyo. Na endapo atafanya lolote katika hayo, na Allah akamfichia dhambi yake, ni juu Yake kumsamehe ama kumuadhibu (akhera)." 'Ubada bin As-Samit akaongezea: "Kwa hiyo tukala kiapo kwa haya" (mambo kwa Mtume wa Allah s.a.w)

Bukhari 2:10


Sahih Al-Bukhari: Kitabu #2, Hadith #10


Narrated Anas:
The Prophet said, "Love for the Ansar is a sign of faith and hatred for the Ansar is a sign of hypocrisy."


حَدَّثَنَا أَبُو الْوَلِيدِ، قَالَ حَدَّثَنَا شُعْبَةُ، قَالَ أَخْبَرَنِي عَبْدُ اللَّهِ بْنُ عَبْدِ اللَّهِ بْنِ جَبْرٍ، قَالَ سَمِعْتُ أَنَسًا، عَنِ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم قَالَ " آيَةُ الإِيمَانِ حُبُّ الأَنْصَارِ، وَآيَةُ النِّفَاقِ بُغْضُ الأَنْصَارِ ".


Amesimulia Anas (r.a):
Nabii (s.a.w) amesema, " Upendo kwa Ansar ni ishara ya imani na chuki kwa Ansari ni ishara ya unafiki."