Mawlāya šalli wa sallim dāiman abadan
'Alā Ĥabībika Khayril khalqi kullihim
Yā Rabbi šalli ‘alāl Mukhtāri min Muđarin
wal Anbiyā wa jamī’ir Rusli mā dhukirū
Wa šalli Rabbi ‘alāl Hādī wa Shī’atihi
wa Šaĥbihi man li ťayyid Dīni qad nasharū
As salaamu alaikum! Shukrani na sifa zote ni zake Allah [Subhanahu Wa Ta'allah]; rehma, baraka, na amani za Allah zimfikie kipenzi wetu Mtume Muhammad [Sallalahu alayhi wasallam], ahli zake, swahaba wake, na wanaomfuata. Dhumuni la Blog hii ni kukumbushana, kuelimishana na kusambaza mafunzo ya ilm tasawwuf/tazkiyah, iliyojengeka juu ya msingi wa Qur'an na Sunnah haswa kwa kufuatana na madhehebu ya Imam Shafii.