Habari tulizopata kuhusiana na yale Maulidi yaloyokuwa yafanyike msikiti wa Mlango wa Papa, Mombasa yamepangwa kufanyika siku ya leo Jumatatu inshaa Allah.
Tunaomba Mungu leo kuwe na amani.
Amin.
Tunaomba Mungu leo kuwe na amani.
Amin.
As salaamu alaikum! Shukrani na sifa zote ni zake Allah [Subhanahu Wa Ta'allah]; rehma, baraka, na amani za Allah zimfikie kipenzi wetu Mtume Muhammad [Sallalahu alayhi wasallam], ahli zake, swahaba wake, na wanaomfuata. Dhumuni la Blog hii ni kukumbushana, kuelimishana na kusambaza mafunzo ya ilm tasawwuf/tazkiyah, iliyojengeka juu ya msingi wa Qur'an na Sunnah haswa kwa kufuatana na madhehebu ya Imam Shafii.
Wahabi ni nan?
ReplyDelete