Sunday, February 12, 2012

Maulidi Mlango wa Papa..

Habari tulizopata kuhusiana na yale Maulidi yaloyokuwa yafanyike msikiti wa Mlango wa Papa, Mombasa yamepangwa kufanyika siku ya leo Jumatatu inshaa Allah.

Tunaomba Mungu leo kuwe na amani.
Amin.

1 comment: