Tuesday, February 7, 2012

Mwaliko Wa Semina



Mahali: University of Nairobi, [Kenyatta National Hospital]

Mzunguzaji: Allama Habib Ali Aljufri

Siku:  Jumanne, 14/2/2012

Muda:  2:00pm hadi 5:00pm


Baada ya Mhadhara  Al Habib atatoa waadhi Masjid Nuur, South C baada ya Maghrib.


Al Habib atawasili Kenya kutokea Abu Dhabi tarehe 13, kisha ataondoka  Nairobi kuelekea Lamu kwenye Maulid ya Riyadha.

Himma Himma! jitahid kuhudhuria 


Kwa maswali na maelekezo zaidi comment hapo chini.

No comments:

Post a Comment